Ndugu watanzania wote kwa ujumla leo asubui katika mapitio ya magazeti
mtangazaji wa tbc radio alikuwa akisoma vichwa vya habari vya magazeti
na alisoma baadhi ya heading nyingi na akafika kwenye habari iliyokuwa
inamzungumzia mch.msigwa..na akaanza kuisoma mch.msigwa
amwaambia........., ikaishia hapo hapo nilipoweka nukta hizo na
hakuendelea kumalizia habari hio na akaendelea na habari zingine...na
bila shaka ilikuwa ni habari ya msigwa kumwambia kinana aende
mahakamani..
ndugu nina uliza ni nini maana ya mwandishi huyu kutiomalizia habari hiyo..?
na hili si linathibitisha kuwa tbc si chombo tena cha habari cha wananchi..nani chombo cha chama na serikali yake..?
hebu nisaidieni zaidi maana yake nini hii
No comments:
Post a Comment