Na Mwandishi Wetu
YULE
denti wa chuo kimoja jijini Mwanza ambaye wiki iliyopita tuliandika
habari ya picha zake za utupu kuzagaa kwenye mtandao wa BBM, Fatuma
Omari amejikuta kwenye wakati mgumu kufuatia madai kuwa familia yake
imemtenga.
Chanzo chetu kilichoomba hifadhi ya jina lake kilidai kuwa, mara
baada ya kutoka kwa habari hiyo, baadhi ya ndugu zake walikasirika na
kutaka kujua undani wake.
“Ile stori ilipotoka ndugu wa Fatuma hawakuamini kuwa kweli kapiga picha hizo.
“Kwa
bahati kuna mtu aliyekuwa na picha hizo, walipoziona, waliumia sana na
baadhi wakafikia hatua ya kusema hawana radhi naye,” kilidai chanzo
hicho.
Ijumaa lilimtafuta Fatuma ili kuzungumzia madai hayo bila
mafanikio ila kijana mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Saleh baada ya
stori kutoka, alilipigia simu Ijumaa na kusema:
“Fatu ni mdogo wangu,
nashangaa mmemuandika kuwa kapiga picha chafu wakati siyo kweli. Kama
hizo picha zipo nitakuja kuziona laa sivyo tutapelekena mahakamani,”
alisema Saleh.
Tumeamua kutumia picha hiyo chafu hapo chini aliyopiga Fatuma ili kuonesha uhalisia.
No comments:
Post a Comment