Stori: Imela Mtema
SIRI ya kuvunjika kwa ndoa ya staa wa filamu Bongo, Yvonny Cherry
‘Monalisa’ imevuja ambapo imeelezwa kuwa tattoo aliyokuwa ameichora
mkononi mwake yenye alama ya kopa na mshale ndiyo chanzo.
Akizungumza
na Tollywood Newz jijini Dar es Salaam, Monalisa alisema: “Sikuwahi
kuwaza hili hata mara moja. Siku moja Kanisani, Mchungaji aliniambia
kwamba tattoo yangu ndiyo chanzo cha kunivurugia uhusiano wangu.
“Aliniambia kwamba, alama ya kopa ambayo humaanisha moyo – upendo,
halafu mshale kupita katikati yake, humaanisha maumivu na kuteswa katika
uhusiano. Lilikuwa jambo jipya kwangu lakini niliamua kufuta haraka
sana na sasa nimeweka nyingine ya ua rose.”
Stori: Imela Mtema
SIRI ya kuvunjika kwa ndoa ya staa wa filamu Bongo, Yvonny Cherry
‘Monalisa’ imevuja ambapo imeelezwa kuwa tattoo aliyokuwa ameichora
mkononi mwake yenye alama ya kopa na mshale ndiyo chanzo.
Akizungumza
na Tollywood Newz jijini Dar es Salaam, Monalisa alisema: “Sikuwahi
kuwaza hili hata mara moja. Siku moja Kanisani, Mchungaji aliniambia
kwamba tattoo yangu ndiyo chanzo cha kunivurugia uhusiano wangu.
“Aliniambia kwamba, alama ya kopa ambayo humaanisha moyo – upendo,
halafu mshale kupita katikati yake, humaanisha maumivu na kuteswa katika
uhusiano. Lilikuwa jambo jipya kwangu lakini niliamua kufuta haraka
sana na sasa nimeweka nyingine ya ua rose.”
No comments:
Post a Comment