NEMAYAN

NEMAYAN

ROBERT

  • THE HOODS SPICK

Monday, January 28, 2013

HII NDIO STORI YA DROGBA KWENYE MIKONO YA GALATASARAY



.
Taarifa hii nimeipokea kwamba club ya soka ya Galatasaray imekubali dili la kumsaini mchezaji Didier Drogba kwa miezi la 18 hivyo kumchukua kutoka kwenye club yake ya Shanghai Shenhua.
Mchezaji huyu ambae aliondoka Chelsea last summer imeelezwa kwamba atasaini hilo dili baada ya kumalizika kwa mechi za Ivory coast kwenye AFCON ambapo game yao ijayo inachezwa jumapili ijayo.
Kusaini kwa Drogba na Galatasaray itakua dili kubwa la pili la club hiyo huku la kwanza likiwa ni kumchukua mchezaji Wesley Sneijder kupitia dirisha la usajili wiki iliyopita.

No comments:

Post a Comment