Ukiona Msichana anakwambia hizi sentensi wala usijisumbue kumuoa..Ndoa sio mashindano kwamba usipokimbia fasta atashinda Usain Bolt…Anataka umuoe kisa mashosti wanaolewa kwamba ye ataonekana kachelewa lakini 2.anasema kuna vijana wa2 wako tayari kumuoa that means hana consistency,ana Plan A,B,C hadi Z,yeye shida ni ndoa ila sio nani kamuoa.Kaweka Timing,akikukosa wewe basi ana reserve.Na si ajabu hata hao wawili anaowasema wako Pending tayari wameshaweka Signature bila wewe kujua…Mwanamke wa namna hii,akisema tu hizi shombo,we mwambie Samahani mpenzi mahari nimejengea mabanda ya kuku wa Mayai…Nitakushangaa kama utakurupuka na kuanza kututumia meseji za michango ya harusi ya Crash Programme kisa demu kakupiga mkwara ili umuwahi uwashinde wale wawili..Huo ni U-sukununu!…Hutakuwa umeoa Mke ila Umeoa Vodafasta!
NEMAYAN
ROBERT
- THE HOODS SPICK
Monday, January 28, 2013
Neno:Ukiona Msichana anakwambia hizi sentensi wala usijisumbue kumuoa
Ukiona Msichana anakwambia hizi sentensi wala usijisumbue kumuoa..Ndoa sio mashindano kwamba usipokimbia fasta atashinda Usain Bolt…Anataka umuoe kisa mashosti wanaolewa kwamba ye ataonekana kachelewa lakini 2.anasema kuna vijana wa2 wako tayari kumuoa that means hana consistency,ana Plan A,B,C hadi Z,yeye shida ni ndoa ila sio nani kamuoa.Kaweka Timing,akikukosa wewe basi ana reserve.Na si ajabu hata hao wawili anaowasema wako Pending tayari wameshaweka Signature bila wewe kujua…Mwanamke wa namna hii,akisema tu hizi shombo,we mwambie Samahani mpenzi mahari nimejengea mabanda ya kuku wa Mayai…Nitakushangaa kama utakurupuka na kuanza kututumia meseji za michango ya harusi ya Crash Programme kisa demu kakupiga mkwara ili umuwahi uwashinde wale wawili..Huo ni U-sukununu!…Hutakuwa umeoa Mke ila Umeoa Vodafasta!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment