Picha za Wanawake wanaotuhumiwa kufanya biashara ya ukahaba wakipelekwa
kwenye Mahakama ya Jiji la Dar es Salaam, baada ya kukamatwa maeneo
mbalimbali ya Wilaya ya Kinondoni kwenye oparesheni ya kuwakamata
inayofanywa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipilisi Kinondoni, jumla ya
watuhumiwa 14 pamoja na baadhi ya wateja wao wamefikishwa kwenye
mahakama hiyo.
No comments:
Post a Comment