NEMAYAN

NEMAYAN

ROBERT

  • THE HOODS SPICK

Wednesday, January 23, 2013

Mwambaji Jux Ndani ya Penzi na Mke wa Mtu Jackline Patrick


Jux-1
jux-4
Unamkumbuka Jux? Yule chorus Killa wa kundi la Wakacha wazee wa Coders? Yeah, jamaa yuko kimya kiaina lakini kwa mujibu wa picha zake za Instagram the boy is living large! Pamba kali (kama kawaida yake), trip za pipa za hapa na pale kwenda ughaibuni na mambo kibao.
Kikubwa zaidi the songbird is apparently dating one of the hottest models in Tanzania, Jackie Cliff. Kama humfahamu vizuri Jackie anaonekana kwenye video za nyimbo kadhaa za Bongo Flava zikiwemo Nataka Kulewa wa Diamond na She got a gwan wa Ngwair!
Kupitia akaunti ya Instagram Jackie amepost picha akiwa na Jux na kuandika, “Dinner date with @juma_jux in Garden hotel.”
Na pia Jux kwenye akaunti yake amepost picha ya Jackie akijaribisha kuvaa viatu vyake (Jux) na kuandika, “baby tryn them #me Jordans…#dope though.”

No comments:

Post a Comment