Mastaa
wa marekani Kim Kardashian na Kanye West wamekata ofa ya dola za
Marekani milioni 3 sawa na takriban shilingi za kibongoa 4,680,000,000
kutoka kwa mtandao mmoja wan je wa udaku ili wawe wa kwanza kupiga picha
za mtoto wao wa kwanza.
Vyanzo vya habari zimedai kuwa wawili hao hawana mpango wa kuuza picha za mtoto wa kwa mtu yeyote.
Hata
hivyo wachambuzi wa mambo wanadhani hii ni taarifa ya kutungwa ili
kuongeza kiu ya watu kutaka picha hizo hivyo kufanya dau kuongezeka.
No comments:
Post a Comment