NEMAYAN

NEMAYAN

ROBERT

  • THE HOODS SPICK

Wednesday, January 23, 2013

WENGER AKUBALI KUONGEZA WATU ARSENAL


Arsene Wenger: Is planning to bring fresh faces into the Emirates

Mfaransa  Arsene Wenger  anafuraha zaidi hasa kwa  mwenendo wa sasa kwa klabu ambayo  inataraji kuongeza watu katika kikosi chake ambacho kimejaa wachezaji wenye kiwango kikubwa na wa kimataifa.
Wenger , kwa sasa , anajua kuwa majeruhi na na adhabu vitaigharimu timu yake hasa katika kipindi hiki cha pili cha ligi ya premier ya uingereza .

Akiwa ana piga Maheseabu ya  kina, Anatarajia kufanya manunuzi ya haja katika wakati huu wa majira ya baridi .

Kiungo wa West Ham United Mohamed Diame ni moja kati ya wachezaji ambao wamepewa nafasi kubwa ya kujiunga na vijana hao wa  Emirates,Na  Wenger ameshindwa kukataa kuwa hamhitaji mchezaji huyo .
Akimuelezea mchezaji huyo amesema kuwa kama hatutatukuwa na majeruhi itakuwa sawa lakini kwa sasa kama tutakuwa na majeruhi itakuwa hasara kwetu 
."
Aliongeza ,katika tetesi za sasa kati yetu na Diame  : " Ni mchezaji mwenye uwezo mkubwa kiwanjani na anao uwezo wa kuchezesha vizuri sehemu ya kiungo na nilimuona siku walio cheza na chelsea alionyesha uwezo mkubwa sana kiwanjani.

No comments:

Post a Comment