Lulu
Akiwa mahakamani Siku ya leo …Mahakama imesema dhamana yake ipo wazi na
imetoa masharti na ya dhamani ambayo inatakiwa yatimizwe ili aachiwe
baadhi ya masharti ni kuwa na wadhamini wawili kila mmoja atoe milioni
20 na hati yake ya kusafiria inahitajika na mengine..wakishayatimiza
hayo Lulu Michael Ataachiwa kwa Dhamana
No comments:
Post a Comment