NEMAYAN

NEMAYAN

ROBERT

  • THE HOODS SPICK

Thursday, February 14, 2013

BABA KANUNBA AFUNGUKIA DHAMANA LULU!


Stori: Gladness Mallya
KAMA ilivyodhaniwa na wengi kwamba baba wa staa wa marehemu Steven Kanumba, Charles Kusekwa atazungumzia dhamana ya Elizabeth Michael ‘Lulu’,  kweli ameibuka na kusema yupo makini kufuatlia mwenendo mzima wa kesi hiyo ya kuua bila kukusudia.
Hivi karibuni, Baba Kanumba alipiga simu kwenye dawati la Amani na kusema dhamana hiyo ya Lulu haimuumizi kichwa kwa sababu kila mtu ana haki ya kupewa dhamana kutokana na sheria ila yupo makini kufuatilia mwenendo wake.

No comments:

Post a Comment