Joniko Flower wa SKYLIGHT BAND akiimba na kucheza Twist kwa mashabiki wa Band hiyo huku akisindikizwa na waimbaji wenzake.
Vijana wakisakata Twist......mpaka chini hiyo......ni balaaaaaa.....
Mashabiki wakimtunza Mary Lukas baada ya kupagawa na swagga zake stejini.…
Sam Mapenzi na warembo
wa SKYLIGHT BAND wakikinukisha kwenye show yao ya Ijumaa iliyopita
katika kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.
Meneja wa Bendi Aneth
Kushaba AK47 akiongoza safu ya vijana wa SKYLIGHT BAND kutoa burudani ya
ukweli kwa mashabiki wa Band hiyo.
Mdau wa SKYLIGHT BAND
akimtunza Aneth Kushaba AK47 baada ya kukunwa na uimbaji wa binti huyo
mwenye sauti ya kumtoa nyoka pangoni.
Fans wa SKYLIGHT BAND.
Wadau King Kif, Ngwair na Mwisho Mwampamba walikuwa ndani ya nyumba kula bata na SKYLIGHT BAND.
Binti Khadija aliyekuja
kusheherekea siku yake ya kuzaliwa na SKYLIGHT BAND akimtunza Mary Lukas
baada ya kukoshwa na uimbaji wake.
Birthday Girl Khadija
(kulia) akiparty na mabesti zake kwenye kiota cha Thai Village Masaki
jijini Dar wakati SKYLIGHT BAND ikitoa burudani.
Birthday Girl huyo akaamua kushika kiuno kabisa huku akiimba sambamba na Mary Lukas wa SKYLIGHT BAND (hayuko pichani).
Warembo ambao ni mashabiki wa SKYLIGHT BAND waki show love mbele ya kamera yetu.
Wengine wakiwa wamechill kwenye viti huku wakisikiliza burudani ya muziki wa SKYLIGHT BAND.
Herry Nasser wa PACO DECOR akishow love na rafiki yake.
Couples iliyobamba usiku wa SKYLIGHT BAND kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.
Wakaka nao hawakubaki nyuma taratibu.....
Wengine waliendelea kupata upepo mwanana huku wakisikiliza burudani ya SKYLIGHT BAND.
Vijana wakishow love.
Huku nako Birthday Girl
Khadija baada ya kuimbiwa wimbo wa 'Happy birthday to you' na SKYLIGHT
BAND marafiki zake walimwagia vinywaji na kumsiribia icing sugar uso
mzima.
Chapa chapa na vinywaji viliishia mwilini.
Hapo sasa twende kazi burudani ya muziki wa SKYLIGHT BAND ilipoteka akili zao.
Ikiwadia zamu ya binti
mwenye kipaji cha aina yake Salma Yusuf kuwapagawisha mashabiki wa
SKYLIGHT BAND na mduara kama inavyoonekana pichani.
Palikuwa hapatoshi.
Mrembo all the way from
UK kaja nchini kwenye harusi (katikati) naye alikuja kujionea raha za
SKYLIGHT BAND, pichani akimlisha cake best yake wa siku nyingi King Kif
No comments:
Post a Comment